Popular Posts

Thursday, June 1, 2017

SHABU DAWA YA VIPELE NA CHUNUSI



Shabu ni aina ya madini ambayo yanachimbwa ardhini, yana rangi nyeupe kama chumvi au chokaa, shabu ilianza kugundulika huko ufilipino kama tiba mbadala pia wengi walikua wakitumia kama madawa ya kulevya pia ikawa inatumika kama dawa ya kusafishia maji machafu ambapo ukiiwekwa ndani ya maji machafu kwa rangi au yenye matope baada ya muda mfupi yanabadilika na kua meupe au masafi, utaalamu huo ukafika mpaka Afrika, Kwa Tanzania Shabu inatumika sana kanda ya ziwa na maeneo ya Pwani yaani kando kando ya bahari, matumizi ya Shabu yakazidi kuongezeka kwa maeneo ya pwani ikagundulika pia kua inaweza kua inarudisha bikra kwa wasichana waliopipoteza kwa mazingira yasiyo rasmi mfano kubakwa wakati wakiwa katika harakati za kufunga ndoa hivyo walitumia Shabu ili kuirudisha ili isijulikane kwa mumewe kwamba alishawai kutembea na mtu mwingine kabla yake maana kwa tamaduni za kiafrika heshima ya mwanamke ni Bikra. Hivyo hivyo tenna Matumizi ya shabu yakaendelea kukua ambapo kwa sasa inaweza ikatumika kama dawa ya kutibu vipele vya ndevu ili limekua tatizo kubwa hasa kwa wanaume wengi kupata vipele wakati wa kunyoa, vipele hivyo huwatokea pindi wamalizapo kunyoa na kwa wengine huwa vikubwa kama majipu na pia hukifanya kidevu kuwa cheusi mpaka kwenye mashavu, pia hufanya eneo lililoadhirika kuwa ligumu sana, kwa matatizo yote hayo shabu inayouwezo wa kuondoa vipele sugu vilivyopo eneo la kidevu au vinavyotokea baada ya kunyoa hivyo shabu inayo uwezo wa kutumika pia kama After shave, pale muhusika anapomaliza kunyoa anawza kupaka Shabu badala ya After Shave na ikamsaidia kuondoa kabisa uwezokano wa vipele kuota na kuondoa ambavyo vilikua vimeshaota kidevuni na maeneo ya mashavu.
Naandiaka haya kwa vitu ambavyo nina uhakika navyo kwa asilimia mia moja, hii ni dawa ya asili kabisa kwa matuimizi ya hayo mambo niliyoyataja.
Shabu hufanya ngozi yako kua laini nay a kuvutia pia kwa wale watu wenye chunusi sugu wanaweza kutumia shabu na kuisha kabisa maana shabu huondoa vipele na chunusi na pia rangi nyeusi pia huifanya ngozi yako kua laini na ya kuvutia.
KWA WALE AMBAO WATAKOSA SHABU KWA MAENEO YAO WANAWEZA KUNIONA KWA KUWASAIDIA
PHONE: 0756449533
              :0652478494
Facebook: Frate Mushi

Monday, August 29, 2016

kala jeremia-wana ndoto

man fongo-hainaga ushemeji

man fongo-hainaga ushemeji

dogo janja-kidebe